1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

07.12.2016 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S7 Desemba 2016

Wananchi wa Ghana wanaendelea kupiga kura na kumchagua rais// Watu wanne wamefariki katika hospitali kuu ya Mombasa wakati mgomo wa kitaifa wa madaktari na wauguzi nchni Kenya ukiingia siku ya tatu// Rais wa Marekani, Barack Obama ametoa hotuba yake ya mwisho kuhusu masuala ya usalama wa taifa.

https://p.dw.com/p/2Tswg