1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

07.11.2016 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S7 Novemba 2016

Wagombea wa uraisi wa Marekani Donald Trump wa Republican na Hillary Clinton wa Democratic, hii leo wamepambana vikali katika majimbo ambayo ni lazima wapate ushindi// Hebu fikiria, kwamba uchaguzi unafanyika nchini Marekani kesho Jumanne na kisha Trump ameshinda// Mazungumzo ya Umoja wa mataifa kuhusiana na madiliko ya tabia nchi yameanza hii leo mjini Marrakesh, Morocco.

https://p.dw.com/p/2SIRu