Juan Manuel Santos amesema amepokea tuzo ya amani ya Nobel kwa hisia kubwa// Antonio Guterres kwa haraka anahitajika kuufanyia mageuzi umoja wa mataifa// Merkel- Urusi itumie ushawishi wake kuihimiza serikali ya Syria iache hujuma zake za maangamizi dhidi ya mji wa Aleppo// Afrika Kusini- Wanafunzi wa vyuo vikuu wametishia kuzuia vyuo hivyo kufunguliwa tena rasmi Jumatatu ijayo.