Kiongozi wa upinzani nchini Togo amemtaka Rais Faure Gnassingbe ambaye yeye na familia yake wameiongoza nchi hiyo kwa miaka hamsini kujiuzulu maramoja// Jeshi la Syria limesema ndege za kivita za Israel zimeshambulia eneo lake la kijeshi la Hama magharibi mwa nchi hiyo// Wimbi la mauaji ya kikatili ya wanawake nchini Uganda limezua hisia mseto za hofu na hasira miongoni mwa wananchi na viongozi.