1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

07.07.2017 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S7 Julai 2017

Viongozi wa nchi 20 zinazoongoza kiuchumi duniani wanaendelea kufanya mazungumzo ya faragha katika mkutano wao wa kilele ulioanza leo mjini Hamburg, Kaskazini mwa Ujerumani// Joto la kisiasa linazidi kupanda nchini Kenya huku kukiwa kumesalia takriban mwezi mmoja tu uchaguzi Mkuu nchini humo kuandaliwa// Jeshi la Misri limesema kiasi ya wanajeshi 23 wameuawa na wengine 33 wamejeruhiwa.

https://p.dw.com/p/2gAk3