1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

07.07.2016 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S7 Julai 2016

Chama kikuu cha upinzani nchini Kenya ODM kimepata mtikisiko baada ya kujiuzulu kwa katibu mkuu wake Ababu Namwamba// Chama cha mrengo mkali wa kulia maarufu kama Chama Mbadala cha nchini Ujerumani kimegawanyika katika makundi mawili baada ya mzozo// Marekani imemwekea vikwazo kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong Un.

https://p.dw.com/p/1JL88