Viongozi wa Kundi la nchi saba zilizostawi zaidi kiviwanda la G7 wanajiandaa kwa mkutano wa kilele unaoanza Kesho Ijumaa nchini Canada// Waziri Mkuu wa Uhispania wa siasa za Kisoshalisti ametangaza baraza lake la mawaziri leo hii// Julia Greeley aliekuwa mtumwa nchini Marekani anakaribia kupewa utakatifu.