Kundi linajiita Dola la Kiislamu limedai kuhusika na mashambulizi leo hii mjini Tehran, Iran// Kampeni za uchaguzi wa mapema wa Uingereza zinamalizika leo hii// Serikali ya Kongo imeridhia kuundwa tume ya pamoja kwa ajili ya uchunguzi wa mauwaji yaliofanyika kwenye majimbo ya Kassai.