Waziri wa mambo ya nje wa Iran Javad Zarif amesema mashambulizi yaliyotokea leo mjini Tehran na kuwaua watu 12 na kuwajeruhi wengine kadhaa yatazidisha ari ya Wairan kupambana dhidi ya Ugaidi// Leo ni siku ya mwisho ya kampeni ya uchaguzi mkuu nchini Uingereza.