1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

07.04.2017 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S7 Aprili 2017

Marekani imerusha makombora kadhaa ya kasi katika moja ya kambi ya jeshi la anga nchini Syria// Rais wa Marekani Donald Trump alikutana na Rais wa China Xi Jinping kwa mazungumzo katika jimbo la Florida hapo jana// Rais wa Somalia Mohamed Abdullahi Mohamed ametangaza vita dhidi ya wanamgambo wa Al-Shabaab, na kutangaza msamaha kwa watakaojisalimisha ndani ya siku 60.

https://p.dw.com/p/2arkX