Shambulio la makombora liliofanywa na Marekani dhidi ya Syria leo hii limepokelewa kwa mitazamo tafauti// Maelfu ya Waafrika Kusini wamemiminika mitaani leo katika miji mikuu ya nchi hiyo kumtaka Rais Jacob Zuma ajiuzulu maramoja// Viongozi wa upinzani nchini Kenya wanatarajiwa kukutana mwishoni mwa wiki hii.