1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

07.03.2017 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S7 Machi 2017

Rais wa Marekani Donald Trump amesaini Amri Mpya ya Rais inayozuia watu kutoka mataifa 6 yenye Waislamu wengi kuingia nchini Marekani// Rais Donald Trump hatokubali kukiri kwamba amefanya kosa katika jaribio lake la kwanza// Majeshi ya Iraq leo hii yamefanikiwa kulidhibiti eneo lenye majengo mengi ya serikali katika eneo la Magharibi mwa mji wa Mosul.

https://p.dw.com/p/2YlNu