Rais wa Marekani Donald Trump anatarajiwa wakati wowote kutoka sasa kutaamka kama Marekani inautambua mji wa Jerusalem kuwa mji mkuu wa Israel na kuamua ubalozi wao uhamishiwe mjini humo// Wakimbizi watoto kutoka Syria wameajiriwa katika maeneo mbalimbali ya ajira nchini Uturuki, hali inayoelezwa kuwa inawapokonya furaha ya utoto wao na kuwakosesha haki msingi ya kupata elimu.