Waziri mkuu wa zamani wa Ureno Antonio Guterres anatarajiwa kutangazwa rasmi kuwa Katibu mkuu mpya wa Umoja wa Mataifa // Watu 25 wameuawa nchini Syria karibu na mpaka wake na Uturuki// Jumuiya ya kimataifa imetaka kutolewa kwa Dola Bilioni 15.2 kwa ajili ya kuisaidia Afghanistan katika kipindi cha miaka minne ijayo.