Urusi inakabiliana na ukosoaji mkubwa kutoka jumuiya ya kimataifa, kwa kushindwa kuidhibiti serikali ya Syria kufuatia shambulio la gesi ya sumu katika jimbo la Idlib// Muungano wa vyama vikuu vya upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo,RASSEMBLEMENT, umemtaka rais Kabila kuheshimu utaratibu wa uteuzi wa waziri mkuu mpya.