1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

06.02.2018 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S6 Februari 2018

Uingereza: Karne moja iliyopita wanawake walijipatia haki ya kupiga kura/ Siku ya Kimataifa ya kutovumilia ukeketaji wa wanawake duniani/ Yemen: Mshindi wa tuzo ya Nobel amesimamishwa na chama chake chenye mafungamano na rais, baada ya kuutuhumu muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia unaomuunga mkono/ Utawala wa Rais Trump umeonyesha kusitasiata katika kuiwekea vikwazo Urusi.

https://p.dw.com/p/2sAwk