Urusi imesema leo kuwa imeanza kupunguza idadi ya wanajeshi wake nchini Syria// Malalamiko ya wanajeshi yalioanza leo asubuhi mjini Bouake, ngome ya uasi wa zamani wa kijeshi, yameenea katika miji ya Daloa// Jukwaa la wahariri nchini Tanzania linakusudia kufungua kesi mahakamani kuishinikiza serikali kufanya marekebisho ya kifungu cha sheria ya huduma za habari namba 12 ya mwaka 2016.