Mkutano wa mawaziri wa mambo ya nchi za nje wa Umoja wa Ulaya na jumuiya ya kujihami ya NATO unaanza leo hii mjini Brussels// Umoja wa mataifa umetoa wito leo wa kusitisha mashambulizi ya anga kwa misingi ya kiutu pamoja na mapigano ya kawaida nchini Yemen// Ujumbe wa umoja wa mataifa umeelekea nchini Korea Kaskazini mchana wa leo.