1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

05.10.2017 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S5 Oktoba 2017

Mfalme wa Saudi Arabia Salman bin Abdul Aziz ameikosoa vikali Iran, katika ziara yake ya kwanza nchini Urusi// Kwa mara nyingine mwandishi nguli wa vitabu katika ukanda wa Afrika Mashariki na kati Ngugi wa Thiong'o ameshindwa kupata tuzo ya Nobel ya mwandishi bora wa vitabu// Leo ni siku ya walimu Duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka ulimwenguni kote.

https://p.dw.com/p/2lHtl