Vikosi vya serikali ya Syria vinaendelea kusonga mbele Aleppo// Vyama vikuu vya upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo vimeuomba Umoja wa Mataifa kuingilia kati ili kushawishi kufanyika mazungumzo mapya ya kitaifa// Serikali ya Kenya imevikosoa vyombo vya habari na kukanusha ripoti kwamba idara ya polisi inatekeleza mauaji ya kikatili kwa raia wake.