Deutsche Welle yaadhimisha miaka 65// Balozi mpya wa Marekani kwa Ujerumani, Richard Grenell amejitumbukiza moja kwa moja katika siasa za ndani za Ulaya na kuzua kashfa// Rais wa Urusi Vladimir ameonesha nia yake ya kujenga mahusiano na Umoja wa Ulaya wakati ambapo anaelekea Vienna, Austria hii leo.