1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

05.06.2017 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S5 Juni 2017

Katika hali ya kushangaza, mataifa matano ya Kiarabu yamekata mahusiano yao ya kidiplomasia na Qatar// London-Polisi wameendeleza misako dhidi ya washukiwa wa ugaidi baada ya watu 7 kuuawa mwishoni mwa wiki iliyopita na wengine kadhaa kujeruhiwa kufuatia shambulio la kigaidi jijini humo// Rwanda-Vyama vikuu viwili vya upinzani vimetangaza kumuunga mkono Rais Kagame kwenye uchaguzi mkuu wa Rais.

https://p.dw.com/p/2e8qd