1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

05.01.2018 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S5 Januari 2018

Benki kuu ya Tanzania BOT, imewatoa hofu wananchi na wawekezaji kuhusiana na uendeshaji wa mabenki nchini humo// Mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia jana katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo- Kinshasa, imeuwa watu 37// Maandamano ya kuiunga mkono serikali ya Iran yanatarajiwa kufanyika mjini Tehran leo.

https://p.dw.com/p/2qOIl