Idadi ya vifo imeongezeka na kufikia 44 kufuatia mafuriko katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kinshasa// Maelfu ya waandamanaji wamejitokeza kuandamana kote nchini Iran leo// Korea Kusini na Kaskazini zimekubaliana kufanya mazungumzo ya ngazi ya juu wiki ijayo.