Iran imeitaka Uturuki "isizidi kukorofisha mambo" nchini Syria/ Jeshi la Iraq na vikosi vya usalama vimeimarisha vita dhidi ya wapiganaji wanaojiita Dola la Kiislamu katika juhudi za kuukomboa mji wa Mosul/ Shambulizi kubwa la kigaidi na kukaribia kwa uchaguzi mkuu ni masuala mawili yanayowafanya Wajerumani kwa wakati huu kufanya mjadala juu ya njia bora za kuifanya nchi yao iendelee kuwa salama.