Maafisa nchini Tanzania wanatumia ndege zisizoendeshwa na marubani yaani drones kutambua maeneo ambayo watu wako katika hatari ya kukumbwa na mafuriko mfano Tandale kwa lengo la kuweka mikakati inayohitajika// Kuongezeka kwa ushiriki wa Urusi nchini Afghanistan kumewashangaza waangalizi wengi// Polisi ya mjini Cologne, Ujerumani imetuhumiwa kuwabagua watu kutokana na sura zao.