Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli leo amekutana na kuzungumza na wanahabari kwa mara ya kwanza// Vikosi maalum vya Iraq vimedhibiti tena wilaya sita, mashariki mwa mji wa Mosul nchini Iraq// Asilimia 86 ya wajerumani walioulizwa kuhusu uchaguzi wa Marekani wameonesha kama wangepewa nafasi wangempigia kura Hillary Clinton kuwa rais wa Marekani.