1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

04.10.2017 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S4 Oktoba 2017

Mzozo wa jimbo la Catalonia linalotaka kujitenga na Uhispania umechukua sura mpya, baada ya mfalme Felipe VI wa nchi hiyo kulihutubia taifa// Hatimaye tume huru inayosimamia uchaguzi na mipaka nchini Kenya IEBC ilifaulu kukutana na viongozi wa Jubilee na muungano wa upinzani NASA kwa majadiliano.

https://p.dw.com/p/2lByn