Maafisa waandamizi kutoka Marekani, Uingereza, Ufaransa, Italia na mwenyeji Ujerumani wanatarajiwa kukutana kesho mjini Berlin kwa lengo la kutafuta suluhu ya mzozo wa Syria // Waziri wa uchumi ambaye pia ni naibu Kansela wa Ujerumani Sigmar Gabriel yuko ziarani nchini Iran// Bunge la Umoja wa Ulaya, limeeleza nia ya kuunga mkono utekelezaji wa mkataba wa Paris.