Nchini Kenya usalama wa watetezi wa haki za kibinadamu umeendelea kutiliwa shaka huku serikali ikilaumiwa// Waalgeria wanateremka vituoni hii leo kulichagua bunge jipya// Uvumi kuhusu uimara wa afya ya rais wa Nigeria umesambaa katika miezi ya hivi karibuni na hivi sasa inasemekana anafanya kazi kutokea nyumbani.