1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

04.05.2016 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S4 Mei 2016

Njia ya Donald Trump kupeperusha bendera ya chama cha Republican katika uchaguzi wa rais nchini Marekani baadaye mwaka huu, imekuwa nyeupe, baada ya hasimu wake mkuu Ted Cruz kujitoa katika kinyang'anyiro// Mapigano makali yameendelea usiku wa kuamkia leo baina ya vikosi vya waaasi na wanajeshi wa serikali katika mji wa pili kwa ukubwa wa Allepo nchini Syria.

https://p.dw.com/p/1IhfR