1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

03.11.2017 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S3 Novemba 2017

Jaji wa Uhispania amewaweka kizuizini watu 8 waliokuwa mawaziri katika serikali ya jimbo la Catalonia iliyovunjwa// Wajumbe kutoka mamlaka za manunuzi ya umma Afrika Mashariki wamekamilisha kongamano lao la kumi mjini Kampala, Uganda// Rais Donald Trump wa Marekani afanya ziara yake ya kwanza barani Asia.

https://p.dw.com/p/2mxsK