Waranti wa kukamatwa kwa kiongozi wa Catalonia aliyevuliwa madaraka, Carles Puigdemont, unatarajiwa kutolewa leo// Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amesema leo kuwa anaamini vyama vya siasa vinavyojaribu kuunda serikali mpya vinakabiliwa na mazungumzo magumu.