Kiongozi wa kundi la itikadi linalojiita Dola la Kiisilamu (IS) ametoa ujumbe kupitia mkanda wa vidio akiwahamasisha wafuasi wa kundi hilo waendelee kupigana dhidi ya vikosi vya serikali ya Iraq kuwania udhibiti wa mji wa Mosul// Rais wa Marekani Barrack Obama amewahimiza wafuasi wote wa chama cha Democratic kumpigia kura kwa wingi Hillary Clinton siku ya uchaguzi wiki ijayo.