Zimesalia siku 5 Kenya kwenda kwenye uchaguzi mkuu hapo siku ya Jumanne wiki ijayo// Wapiga kura milioni sita na laki tisa waliosajiliwa nchini Rwanda watateremka vituoni kesho ijumaa // Mataifa ya bara la Afrika yanetakiwa kutunga sera zinazozingatia mazingira halisi ili kuondoa migogoro isio ya lazima baina ya nchi na nchi.