1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

03.05.2017 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S3 Mei 2017

Rais wa Marekani Donald Trump anampokea leo kwa mazungumzo Kiongozi wa Mamlaka ya Wapalestina Mahmoud Abbas mjini Washington/ Tarehe tatu Mei ya kila mwaka ni siku ya kimataifa ya uhuru wa vyombo vya habari ambapo jamii ya ulimwengu husherehekea misingi ya uhuru wa kujieleza/ Hata katika nchi za kidemokrasi mfano wa Marekani na Poland, waandishi habari wanazidi kutiwa vishindo katika shughuli zao.

https://p.dw.com/p/2cGiN