Siku ya kimataifa ya uhuru wa vyombo vya habari// Juhudi za kuokoa mapatano Syria zahamia Urusi// Venezuela: Chama cha upinzani kimewasilisha saini kwa maafisa wa uchaguzi nchini humo za kuwezesha kura ya maoni kumwondoa rais Nicolas madarakani// Leicester ni mabingwa wa soka Uingereza