Mkutano wa waziri wa mambo ya nje wa Urusi na mjumbe wa Umoja wa Mataifa kwa Syria, Staffan de Mistura mjini Moscow// Uhuru wa vyombo vya habari: Hali nchini Somalia// Shirika la fedha duniani,IMF, limeyatahadharisha mataifa ya Afrika hasa kusini mwa jangwa la sahara dhidi ya kuendelea kuchukua mikopo kwa ajili ya kuboresha uchumi wa eneo hilo