1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

03.04.2018 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S3 Aprili 2018

Viongozi mbalimbali duniani wameendelea kutoa salamu zao za rambirambi kufuatia kifo cha Winnie Madikizela-Mandela// Viongozi sita waandamizi wa chama cha Demokrasia na Maendeleo -CHADEMA nchini Tanzania waliokuwa wakishikiliwa rumande kwa tuhuma za uchochezi dhidi ya serikali wamefikishwa tena mahakamni leo.

https://p.dw.com/p/2vPFs