1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

03.04.2018 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S3 Aprili 2018

Rais Xi Jinping wa China leo hii amemwambia mwenziwe wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa kwamba wanapaswa kuufanyia kazi kwa pamoja ukurasa mpya wa ushirikino wao// Mataifa makubwa matatu ambayo yamehusika na sura ya vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Syria yaani Iran, Urusi na Uturuki yatajadili njia za kumaliza mapigano nchini humo kesho Jumatano.

https://p.dw.com/p/2vQd4