1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

03.03.2017 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S3 Machi 2017

Wakati mazungumzo ya amani ya Syria yakikaribia kuhitimishwa jijini Geneva, hakujaonekana kuwepo kwa makubaliano yaliyoahidiwa// Ujerumani na Tunisia zimetangaza makubaliano mapya katika kukabiliana na uhamiaji unaofanyika kinyume na sheria// Mgombea kiti cha rais kutoka chama cha kihafidhina Les Republicains Francois Fillon anazidi kukimbiwa na wafuasi wake kufuatia kashfa ya kazi bandia.

https://p.dw.com/p/2YcMP