1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

03.01.2017 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S4 Januari 2017

Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan amesema leo kwamba shambulizi dhidi ya kilabu kimoja mjini Istanbul wakati wa mkesha wa mwaka mpya lilinuia kutatiza jamii ya Uturuki// Katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Kanisa Katoliki limeendelea na kazi ya kukusanya maoni ya namna ya kutekeleza mkataba wa makubaliano ya kisiasa ya amani.

https://p.dw.com/p/2VGrz