Waziri mkuu wa Ururuki amesema hii leo kwamba anataraji serikali mpya ya Marekani kusitisha ugavi wa silaha kwa kundi la wanamgambo wa Kikurdi YPG la nchini Syria// Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi nchini Gambia, Alieu Momar Njai ameitoroka nchi hiyo// Waasi nchini Msumbiji wametangaza kurefusha kwa miezi miwili makubaliano ya kusitisha vita baina yao na serikali.