1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

02.12.2016 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S2 Desemba 2016

Taarifa kutoka Umoja wa Mataifa zinaeleza kuwa zaidi ya makundi 200 ya haki za binaadamu leo hii yametoa mwito kwa baraza kuu la Umoja huo kuuelezea mzozo wa Syria// Kura ya maoni imebainisha kuwa wapiga kura nchini ufaransa wanamtaka Manuel Valls kuwania urais// Rais mteule wa Marekani, Donald Trump atamteua aliyekuwa Jenerali wa Jeshi la Wanamaji, James Mattis kuwa waziri wake wa ulinzi.

https://p.dw.com/p/2Td1a