Rais wa Marekani Barack Obama anatumai Urusi huenda ikashirikiana na Marekani katika kuumaliza mzozo wa Syria/Jumuiya ya kujihami ya NATO itaimarisha ulinzi wa anga na hatua nyingine za kiusalama kwa Uturuki/Rais wa Afghanistan Ashraf Ghani kukutana na Kansela wa Ujerumani Angela Merkel mjini Berlin.