Polisi nchini Uganda imewaagiza wanafunzi wote wa chuo kikuu cha Makerere kuondoka kwenye taasisi hiyo mara moja// Maafisa wa shirika la upelelezi la Marekani FBI, wanachunguza mamia ya barua pepe za mgombea urais wa tiketi ya chama cha Democratic Hillary Clinton// Shirika moja la misaada limeonya kuwa maisha ya raia zaidi ya milion moja yako katika hatari kubwa katika mji wa Mosul.