Waangalizi wa Umoja wa Ulaya walioko nchini Kenya wameelezea wasiwasi baada ya Mkurugenzi wa teknolojia na mawasiliano wa tume ya uchaguzi ya IEBC kuuawa kinyama mwishoni mwa wiki iliyopita// Waziri wa ulinzi wa Ujerumani Ursula von der Leyen amesema nchi yake na Ufaransa zitazishawishi nchi nyingine za Ulaya kuunga mkono vita dhidi ya ugaidi katika ukanda wa Sahel.