Jamhuri ya Umma wa China na Umoja wa Ulaya wameahidi kuungana katika kuendeleza mapambano dhidi ya kuzidi hali ya ujoto duniani// Wamiliki wa punda mjini Naivasha wanahofia kudidimia kwa biashara zao kufuatia tishio linalowakumba wanyama wao// Katika tukio lisilo la kawaida, mwanafunzi mmoja wa shule ya msingi amefariki dunia baada ya kuadhibiwa na mwalimu wake huko visiwani Zanzibar.