Miaka mitano baada ya kuuliwa Osama bin Laden// Kerry ajaribu kuokoa usitishaji mapigano Syria// Marekani yadaiwa kuishinikiza EU makubaliano TTIP// Mazungumzo kuhusu mzozo wa Burundi yaliyopangwa kuanza leo mjini Arusha, Tanzania yameahirishwa hadi Mei 21// Maelfu ya raia wa Congo wamekusanyika mjini Kinshasa kutoa heshima zao za mwisho kwa mfalme wa Rumba, Papa Wemba