Rais Donald Trump alitumia siku zake 40 za mwanzo madarakani kwa kutoa amri za rais kama hatua ya kutikisa kibiriti kwa upande wa upinzani// Kansela wa Ujerumani Angela Merkel leo anaanza ziara ya mataifa mawili ya Afrika Kaskazini kutafuta washirika wapya katika suala la mgogoro wa wakimbizi// Wimbi la wakimbizi wa Sudan Kusini linaendelea kuingia kaskazini mwa Uganda.